Iddi Mosi Julai 2016 #JamboSquad na #BoyKitilaNdani ya Ukumbi Mpyaaa Utaozinduliwa wa#WhatsupLodge.. Zamani kwa Mnyalu kukupa Show Kali #BurudaniJukwaani
Hapa @odiijambo Hapo @chaliijambo Pale @boykitilla
MCHANA:
Disko toto Kwa Kiingilio cha sh 2'000/= Tu Mlangoni kuanzia saa sita Mchana kuendelea. Mtoto atakayependeza zaidi atapewa zawadi sambamba na kupiga Picha na @jambosquad
USIKU:
Show ya WaKubwa kwa kiingilio cha sh 5000/= Tu Mlangoni na Disko toka kwa Deejays wakali. Dont Miss!!! IDDI MOSI ndani ya #WHATSUPLODGE
#InfoPoweredBy @vmgafrica @vipajivmgafrica @kwanzapromo #KwanzaPromo
@teamKaskazi
#TeamKaskazi
Post a Comment Blogger Facebook
Post a Comment