Naibu waziri wa mambo ya ndani (Diego Fuentes) ameonya kuwa idadi hiyo huenda ikaongezeka zaidi kwa sababu waokoaji wanazidi kukosa matumaini ya kupata manusura zaidi.
Takriban watu 2000 bado hawajulikani waliko. Watu 20,000 wameachwa bila makao kufuatia tetemeko hilo la uzito wa 7.8 katika vipimo vya richa lililoikumba nchi hiyo.
Post a Comment Blogger Facebook
Post a Comment