Donald "Chip" Pugh aliwatumia maafisa wa polisi picha aliyojipiga mwenyewe na kuandika ujumbe unaosema: "Hii hapa picha yangu nzuri, hiyo mliyotumia ni mbaya sana”.
Polise katika mji wa Lima, jimbo la Ohio, walikuwa wamepakia picha kwenye ukurasa wao wa Facebook wakiomba msaada wa kumtafuta Bw Pugh.
Polisi walimjibu na kusema angefanya hisani zaidi kwa kujifikisha kwao.
Alikamatwa baadaye jimbo la Florida.
Post a Comment Blogger Facebook
Post a Comment