0

Bofya HAPA   https://mkito.com/song/hizi-mitaa/4501   kupakua wimbo mpya wa STD'z kwa Jina "Hizi Mitaa" toka studio za Noizmekah Productions chini ya DefXtro, Hii ni Project inayofuata ile Remix Matata ya "Pressure" iliyowaunganisha LordIzzy, StopaRhymes, Chindo, LadyNaike, Lavosti & Son, Hii ni kazi ambayo inawatambulisha zaidi Tumsime na Mshumbu ambao ndio wanaounda STD'z ,Kwa mahojiano/mawasiliano zaidi check nao kwa nambari +255 784 809 585 powered by  www.vmgafrica.com @vmgafrica #supportafricanartists

Post a Comment Blogger

Theme images by sebastian-julian. Powered by Blogger.
 
Top