LIKE facebook Page YETU HAPA ILI KUTUTIA MOYO KWANI YOTE TUNATOA BILA MALIPO
Mdada anaitwa Nakaaya Sumari,kwa mara ya kwanza utamsikia aki-RAP Katika Mamong'oo remix ya Jambo Squad itakayopatikana rasmi Jumatatu Tarehe 18 Agosti HAPA https://mkito.com/artist-profile/jambo-squad/330PEKEE... Ukihitaji wimbo usio na matangazo mwanzoni,bofya kitufe cha NUNUA badala ya BURE wakati wa kupakua,na upate wimbo halisi usio na matangazo kabisa kwa 250/=Tsh TU follow @nakaayasumari na kwa mawasiliano/mahojiano check kwa whatsapp +255 783 166 699 powered bywww.vmgafrica.com
Theme images by sebastian-julian. Powered by Blogger.
 
Top